Advertise here

Friday, January 18, 2013

CHRIS BROWN &RIHANNA KUTOKA NA SWEETHEARTS

Msanii Mwibaji,Mwandishi,na Mwigizaji  Chris Brown Hivi karibuni Ataachia Ngoma yake mPya inayokwenda Aliyoiita Sweethearts Akimshirikisha Mpenzi wake Rihanna pamoja na RApa Eminem ,

Wawili hao walionekana jana usiku West Hollywood stdio tayari kwa kuanza kazi hiyo ,lakini iliwawalazimu kutengana kuzuia picha za mapaparazi kutowaona haikusaidia.

Pia Rihanna yupo katika harakati za kutayariusha nyimbo mpya atakayo mshirikisha Rapa Eminem inayokwenda kwa jina la "NUMB"

Akizungumzia ushirikiano na rapa huyo mwenye vituko Rihanna alisisema
“I just love working with Eminem. He’s just one of my favorite rappers, and his lyrics – he’s a true poet, and I enjoy that about him.”

hakuishia hapo akaongeza hivi
 “I needed someone who really understands the perspective and the metaphor of the in the song of going numb and being numb to everything around and to say, ‘(expletive) you.’ Eminem is definitely the perfect guy for that.”

alimaliza mkali huyo wa kibao cha Diamonds

Story na Christopher Gerald.

justin birber kutoa nyimbo mahususi kuelezea hisia zake

He is giving sings for his love for the Disney star Selena Gomez in some  forms and the last one is by hir music.Justin wants us to know that his new songs will be “honest”  and obviously about his break up with Selena.

HUYU SIO KARDSHIAN

MWANADADA MLIMBWENDE ,MWANAMITINDO ,MUIGIZAJI NA PIA MCHUMBA WA RAPA KANYE WEST KIM KARDSHIAN AMEZIJIA JUU KAULI ZA MAGAZETI NA MITANDAO YA KIJAMII INAYOZUSHA KUWA MDOGO WAKE KHLOE KARDSHIAN SIO MMOJA WA FAMILIA YA KARDSHIAN,

PIA MAMA YAKE, KRIS KATOA MSIMAMO WAKE KUHUSU HILO KATIKA BLOGI YAKE, LAKIN KUBWA ZAIDI NI NINI KHLOE ANAFIKIRIA KUHUSU HILO.

KIM AKAFUNGUKA "t is a complete waste of time to address these reports every time they print these ridiculous and absurd tabloid stories, but not only are these stories untrue, they’re also unfair to the people who buy the magazines expecting to read accurate reports…"

HAKUISHIA HAPO SABABU HASI9RA HAZIZUIRIKI BAADHI YA MANENO TUMEYATIA KAPUNI KUTOKANA NA TAMADUZI ZETU...
 "These blatant lies are distasteful and shameless,"
 ALIMALIZA  KIHIVYO.
story na christopher gerald