baada ya kubreak na mpenzi wake Selena Gomezi ,msanii ,mwigizaji ,mwandishi, JUstin beiber alipaform nyimbo ya cry me a river ya justin Tmberlake siku chache baada ya kutengana na mpezi wake huyo,
Wiki hii Selejna nae ameamua kujibu kwa kuperform nyimbo hiyo hiyo ya cry me a river ,SWALI KWA WENGI JE YANATAKA KUTOKEA KAMA YA CHRIS BROWN NA RIHANNA,?
Mmoja wa marafiki wa J.B alisema kuwa dogo alipform nyimbo hiyo kumlenga Selena na stilol bado anampenda.