Advertise here

Thursday, March 14, 2013

DOWNLOAD DIAMOND_ft_TANZANITE-MAPENDI


DOWNLOAD B.O.B CLICK_ft_MICHARAZO_WAMEKAA

http://api.ning.com/files/rdGwDgrRKNhdVp5uQnsDZAZfJM4qsimYYo7QPqHIT4sQYxI3fauu9qKrqLHBL3QNE-BmvJGf2uXakM25v2-sItP*FmhArDnS/bob.jpg

MSANII ALALAMIKIA KUIBIWA JINA


Msanii chipukiz kutoka arusha ...G Ramo alalamika kutumika kwa jina lake ..naanamshutumu jose braiz producer ambaye alihuska kumtengenezea beat ya kibao kinacho iitwa haijalishi ambayo vocal ifanyika fnouk studio arusha...baada ya kutumiwa nyimbo...msanii ambaye yupo chin ya street sound wakaamua kuchakachua jna na kujiita Q Ramo ambalo amechukua kutoka kwa G RaMo

LINK&SOCIALIZE WITH GNAKO FROM WEUSI

Download Gnako Songs HERE

Gnako & Watengwa-Bado Muda Kidogo-- http://www.hulkshare.com/f5ne0s1pnbpc
Gnako ft Johmakini-Juu Ilipo-- http://www.hulkshare.com/e2fq2vrn2w3k
Gnako NickMweusi Adili & Rama Dee-Kikazi Zaidi-- http://www.hulkshare.com/5xai1kho2o74
Gnako & NickMweusi-Headache-- http://www.hulkshare.com/tkt51lz7aq68
Gnako & Chindo ft Banx-Right Here-- http://www.hulkshare.com/tocgtkqacgsg
Gnako ft Ben Pol-Mama Yeyo-- http://www.hulkshare.com/8gpfeyp14jk0
Gnako-Bado Ngware (RMX)-- http://www.hulkshare.com/vyud613bdo1s
Gnako & Other Artists-Wazi-- http://www.hulkshare.com/6swg0emhizcw
Gnako ft The Artist & AY-Take Off-- http://www.hulkshare.com/k53b3ayll728

follow @gnakowarawara & Like http://www.facebook.com/pages/G-Nako/271170083433?ref=ts&fref=ts

DOWNLOAD SUMA MNAZALET_ft_TUNDA MAN_TUKO WANGAPI

DOWNLOAD JUX_UZURI WAKO

DOGO JANJA AKILA BATA CAPE TOWN

akili the brian_Nakuogopa (official Video)

SOLO THANG _ft_ GODZILA_UWEZO MIA MIA

Baada ya kutamba sana na tngoma ya miss Tanzania kwa sasa Mc nguli wa Hip hop bong SOLO THANG ameachia Video yake mpya aliyomshilikisha Godzilla aliyoiita UWEZO MIA

HEINEKEN KUPELEKA MBONGO KUCHEKI FAINALI YA UEFA 2013



0
.
Heineken Tanzania waliandaa bonge la party lililofanyika Akemi City Centre Dar es salaam kuanzia saa moja usiku march 13 2013 na kufatiwa na utazamaji wa mechi za UEFA moja wapo ikiwa Bayern vs Arsenal, mimi kama mmoja wa walioalikwa… napenda kusema nilienjoy!!
.
Mr Uche ambae ndio boss wa Heineken Tanzania.
.
Warembo waliotumia time yako kuhakikisha watu wanaenjoy kwa kuhudumiwa vitu mbalimbali.
.
E.Kibonde kutoka Jahazi la Clouds FM ndio alikua muongozaji.
.
Team kutoka Push Mobile Tanzania.
.
Brothers and sisters wakienjoy
.
.
Kwa mbali anaonekana mtangazaji Salama Jabir na washkaji akiwemo Patric Nyembera wa EATV
Kwa mbali anaonekana mtangazaji Salama Jabir na washkaji akiwemo Patric Nyembera wa EATV
.
.
.
.
..
..
.
Hivi vilikua sehemu ya party pia, huku watu wakichek mechi ya Bayern vs Arsenal.
.
.
.
.
.
(Salute kwa Abdul Mohamed ambae ndio amepiga hizi picha zote)
. . .

HILI NDILO GARI LA PRODUCER LAMAR ALILONUNUA KWA JAY DEE



0
.
Baada ya kulinunua Lamar aliamua kulibadilisha muonekano, akalipimp kihivi.
.
.
.
.
Lamar 1
.
Huu ndio muonekano wa hili gari wakati likimilikiwa na Lady JayDee.
.

Kala jeremiah_ft_BEN PAUL_KARIBU DAR

baada ya kufanya vizuri sana na Dear God Kala jeremiah ameachia ngoma yake mpya aliyipa jina ya KARIBU DAR akiwa amemshirikisha BEN PAUL download hapa