You might also like:
Saturday, April 20, 2013
WALIOMALIZA DARASA LA SABA KUANZA CHUO
http://www.mwananchi.co.tz
wameripoti leo kwamba Tume ya Vyuo Vikuu Nchini (TCU) imepanga kuanza
kuwadahili wanafunzi wa kujiunga na masomo ya vyuo vikuu kwa kutumia
uzoefu wao ambapo udahili huo utakaoanza mwaka huu wa masomo 2013/14,
utakuwa ukiwahusisha wale ambao elimu yao imeishia darasa la saba na
kuendelea, lakini walikosa sifa ya kuendelea na masomo kwa ngazi ya chuo
kikuu.
Kupitia utaratibu huo mpya, mtahiniwa atajiunga na Chuo Kikuu kulingana na fani atakayoiomba na atatakiwa kufanya mitihani mitatu na kufaulu kwa wastani wa daraja B ambapo Mkurugenzi wa Ithibati na Ubora wa Elimu ya Juu kutoka TCU, Dk Savinus Maronga aliliambia Mwananchi kwamba baada ya kuona kuna watu wengi wanaopenda kuendelea na masomo ya elimu ya juu lakini wameshindwa kutokana na kutokuwa na vigezo, TCU imeamua kuanzisha mitihani hiyo maalumu.
Alisema kuwa mfumo huo unaojulikana kama ‘Recognition of Prior Learning’ (RPL), utamwezesha mwombaji kudahiliwa vyuoni kupitia tume hiyo kama wanavyofanya watahiniwa wengine, Sifa zinazotakiwa ili kujiunga…. mwombaji anatakiwa kuwa na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea, sambamba na kuwa na elimu isiyopungua darasa la saba, atakiwa kuwa na nia ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu na uzoefu wa kile ambacho anakusudia kukisoma, awe na uwezo wa kuandika na kusoma Lugha ya Kiingereza, ambayo ndiyo inayotumika kufundishia vyuoni”
Kupitia utaratibu huo mpya, mtahiniwa atajiunga na Chuo Kikuu kulingana na fani atakayoiomba na atatakiwa kufanya mitihani mitatu na kufaulu kwa wastani wa daraja B ambapo Mkurugenzi wa Ithibati na Ubora wa Elimu ya Juu kutoka TCU, Dk Savinus Maronga aliliambia Mwananchi kwamba baada ya kuona kuna watu wengi wanaopenda kuendelea na masomo ya elimu ya juu lakini wameshindwa kutokana na kutokuwa na vigezo, TCU imeamua kuanzisha mitihani hiyo maalumu.
Alisema kuwa mfumo huo unaojulikana kama ‘Recognition of Prior Learning’ (RPL), utamwezesha mwombaji kudahiliwa vyuoni kupitia tume hiyo kama wanavyofanya watahiniwa wengine, Sifa zinazotakiwa ili kujiunga…. mwombaji anatakiwa kuwa na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea, sambamba na kuwa na elimu isiyopungua darasa la saba, atakiwa kuwa na nia ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu na uzoefu wa kile ambacho anakusudia kukisoma, awe na uwezo wa kuandika na kusoma Lugha ya Kiingereza, ambayo ndiyo inayotumika kufundishia vyuoni”
Mkurugenzi
amekaririwa akisema “Kuna watu wameishia darasa la saba, lakini
wamefanya kazi katika eneo moja, mfano karani wa mahakama, mwandishi wa
habari kwa muda mrefu, mfumo huu utawawezesha kuendelea na masomo bila
tatizo, kutakuwa na mitihani ya masomo matatu ambayo mtahiniwa ili apate
nafasi ya kuendelea na masomo ni lazima afaulu kwa wastani wa daraja B, daraja la kwanza linaloanza na alama A ni 75-100, daraja B+ ni 60-75, B ni 50-59, C ni 40-49, D ni 35-39 na daraja E ni 0-34.
KAJALA ATOA YA MOYONI
Kajala
ametoka kukumbana na kashikashi katika maisha yake hivi karibuni,
baada ya kusota jela takriban mwaka mmoja kutokana na kesi ya
kutakatisha fedha iliyomwandama yeye na mumewe ambaye yuko jela.
Akizungumza
katika kipindi cha ‘Take One’ kinachorushwa kila Jumanne na Clouds Tv,
Kajala alisema alipokuwa jela alimkumbuka mama yake kwa mambo
aliyokuwa akimwambia na kuanza kujuta kutokana na mateso aliyokutana
nayo huko.
“Mimi nilianza kumkumbuka sana mama yangu alivyokuwa akiniusia
kutulia, ila mimi natoroka nyumbani nakwenda ninakotaka na kumuacha
katika huzuni, ila nilipokaa jela niliona nini umuhimu wa mama, namuomba
anisamehe sikujua nilitendalo,” alisema Kajala
Aidha,
Kajala alisema katika familia yao, mama yake alikuwa ni mkali kuzidi
baba yake, ambaye kila kitu walichotaka kufanya aliwaruhusu, ikiwa ni
pamoja na kwenda katika majumba ya muziki, lakini mama yao alikataa na
kudai sasa anatambua umuhimu wake.
Aliwashukuru wote ambao walikuwa naye bega kwa bega hadi kufanikisha
kutoka jela, huku shukrani za pekee akizimwaga kwa msanii mwenzake Wema
Sepetu ambaye alimnusuru kufungwa jela miaka saba kwa kumlipia faini ya
sh milioni 13.
DOWNLOAD 2 FACE-DANCE FLOOR REMIX
One of Nigeria’s living music legends, 2FACE drops the remix of his
previously released video for – DANCE FLOOR but this time, the song
features two of Africa’s finest - Sarkodie from Ghana & Cabo Snoop
from Angola.
If you think you are through with the dance floor, think again because the Dance Floor Remix will get you back there over and over again.
Let 2Baba, Sarkodie & Cabo Snoop take you to where it is happening… Enjoy!
Here is the link http://iroking.com/track/12805/dance-floor-remix-ft-sarkodie-cabo-snoop
If you think you are through with the dance floor, think again because the Dance Floor Remix will get you back there over and over again.
Let 2Baba, Sarkodie & Cabo Snoop take you to where it is happening… Enjoy!
Here is the link http://iroking.com/track/12805/dance-floor-remix-ft-sarkodie-cabo-snoop
DOWNLOAD TEKNO-HOLDAY FT DAVIDO
The recently signed Kay Money Entertainment artist Tekno is dropping his official debut single featuring Davido and produced by GospelOnDeBeatz. Titled, Holiday, Tekno’s debut single builds up on his previous works including such songs as the comical, Mess; his rendition of Ice Prince’s smash, Oleku titled Onyenekwu and not to mention his hook-stealing chorus on White Nigerian’s Dirty Wine which has been tearing up the clubs.
Add to that his already impressive resume of being featured on songs by the likes of Iyanya (Ekaette) and KaySwitch (Rakaka), Tekno has already built a steady reputation for himself. All is set for his official debut and it’s a holiday, folks.
Download Holiday ft. Davido (prod. By GospelOnDeBeatz) ---- http://www.hulkshare.com/rli4u7dbsfsw
Subscribe to:
Posts (Atom)