Advertise here

Saturday, April 20, 2013

ARDH YAMEZA MAGARI

130418-sinkhole-loo-9a.photoblog600


CT Sinkhole_03.JPG



363312
You might also like:

WALIOMALIZA DARASA LA SABA KUANZA CHUO

.
.
http://www.mwananchi.co.tz wameripoti leo kwamba Tume ya Vyuo Vikuu Nchini (TCU) imepanga kuanza kuwadahili wanafunzi wa kujiunga na masomo ya vyuo vikuu kwa kutumia uzoefu wao ambapo udahili huo utakaoanza mwaka huu wa masomo 2013/14, utakuwa ukiwahusisha wale ambao elimu yao imeishia darasa la saba na kuendelea, lakini walikosa sifa ya kuendelea na masomo kwa ngazi ya chuo kikuu.
Kupitia utaratibu huo mpya, mtahiniwa atajiunga na Chuo Kikuu kulingana na fani atakayoiomba na atatakiwa kufanya mitihani mitatu na kufaulu kwa wastani wa daraja B ambapo Mkurugenzi wa Ithibati na Ubora wa Elimu ya Juu kutoka TCU, Dk Savinus Maronga aliliambia Mwananchi kwamba baada ya kuona kuna watu wengi wanaopenda kuendelea na masomo ya elimu ya juu lakini wameshindwa kutokana na kutokuwa na vigezo, TCU imeamua kuanzisha mitihani hiyo maalumu.
Alisema kuwa mfumo huo unaojulikana kama ‘Recognition of Prior Learning’ (RPL), utamwezesha mwombaji kudahiliwa vyuoni kupitia tume hiyo kama wanavyofanya watahiniwa wengine, Sifa zinazotakiwa ili kujiunga…. mwombaji anatakiwa kuwa na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea, sambamba na kuwa na elimu isiyopungua darasa la saba,  atakiwa kuwa na nia ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu na uzoefu wa kile ambacho anakusudia kukisoma, awe na uwezo wa kuandika na kusoma Lugha ya Kiingereza, ambayo ndiyo inayotumika kufundishia vyuoni”
Mkurugenzi amekaririwa akisema “Kuna watu wameishia darasa la saba, lakini wamefanya kazi katika eneo moja, mfano karani wa mahakama, mwandishi wa habari kwa muda mrefu, mfumo huu utawawezesha kuendelea na masomo bila tatizo, kutakuwa na mitihani ya masomo matatu ambayo mtahiniwa ili apate nafasi ya kuendelea na masomo ni lazima afaulu kwa wastani wa daraja B, daraja la kwanza linaloanza na alama A ni 75-100, daraja B+ ni 60-75, B ni 50-59, C ni 40-49, D ni 35-39 na daraja E ni 0-34.

MMMMMHHH KAJALA WA WEMA NOMAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kajala na Petti man
Kupitia mtandao wa instangram nimeona kila picha ikitumwa na Petti man ni baby baby, unaonaje couple hii mpya 



DIAMOND PLATNUMZ NDANI YA LONDON MWEZI HUU

KAJALA ATOA YA MOYONI


Kajala ametoka kukumbana na kashikashi katika maisha yake hivi karibuni, baada ya kusota jela takriban mwaka mmoja kutokana na kesi ya kutakatisha fedha iliyomwandama yeye na mumewe ambaye yuko jela.

Akizungumza katika kipindi cha ‘Take One’ kinachorushwa kila Jumanne na Clouds Tv, Kajala alisema alipokuwa jela alimkumbuka mama yake kwa mambo aliyokuwa akimwambia na kuanza kujuta kutokana na mateso aliyokutana nayo huko.
 
           “Mimi nilianza kumkumbuka sana mama yangu alivyokuwa akiniusia kutulia, ila mimi natoroka nyumbani nakwenda ninakotaka na kumuacha katika huzuni, ila nilipokaa jela niliona nini umuhimu wa mama, namuomba anisamehe sikujua nilitendalo,” alisema Kajala
 
Aidha, Kajala alisema katika familia yao, mama yake alikuwa ni mkali kuzidi baba yake, ambaye kila kitu walichotaka kufanya aliwaruhusu, ikiwa ni pamoja na kwenda katika majumba ya muziki, lakini mama yao alikataa na kudai sasa anatambua umuhimu wake.

           Aliwashukuru wote ambao walikuwa naye bega kwa bega hadi kufanikisha kutoka jela, huku shukrani za pekee akizimwaga kwa msanii mwenzake Wema Sepetu ambaye alimnusuru kufungwa jela miaka saba kwa kumlipia faini ya sh milioni 13.

DOWNLOAD 2 FACE-DANCE FLOOR REMIX

One of Nigeria’s living music legends, 2FACE drops the remix of his previously released video  for – DANCE FLOOR but this time, the song features two of Africa’s finest - Sarkodie from Ghana & Cabo Snoop from Angola.

 If you think you are through with the dance floor, think again because the Dance Floor Remix will get you back there over and over again.

Let 2Baba, Sarkodie & Cabo Snoop take you to where it is happening… Enjoy!

Here is the link http://iroking.com/track/12805/dance-floor-remix-ft-sarkodie-cabo-snoop

DOWNLOAD TEKNO-HOLDAY FT DAVIDO


The recently signed Kay Money Entertainment artist Tekno is dropping his official debut single featuring Davido and produced by GospelOnDeBeatz. Titled, Holiday, Tekno’s debut single builds up on his previous works including such songs as the comical, Mess; his rendition of Ice Prince’s smash, Oleku titled Onyenekwu and not to mention his hook-stealing chorus on White Nigerian’s Dirty Wine which has been tearing up the clubs.

Add to that his already impressive resume of being featured on songs by the likes of Iyanya (Ekaette) and KaySwitch (Rakaka), Tekno has already built a steady reputation for himself. All is set for his official debut and it’s a holiday, folks.

Download Holiday ft. Davido (prod. By GospelOnDeBeatz) ---- http://www.hulkshare.com/rli4u7dbsfsw

DOWNLOAD PETER MSECHU LALA BI-KIDUDE

Friday, April 19, 2013

DOWNLOAD PETER MSECHU - LALA BI. KIDUDE