Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Mstaafu JOSEPH WARIOBA amesema kuwa uchambuzi huo unatarajiwa kufanywa na mabaraza maalum ya Katiba kuanzia June Mwaka huu, na kuongeza kuwa mabaraza hayo yatapatikana kupitia mapendekezo maalum kutoka kwa wajumbe wa Tume hiyo.
Akizungumzia uteuzi wa mabaraza hayo JAJI WAROBA amesema, tume hiyo imejipanga kuhakikisha watu watakaopatikana kuunda mabaraza hayo wanakuwa makini, na ambao watasimamia zoezi hilo haraka na kwa umakini zaidi ili kupata katiba itakayokuwa na tija kwa Watanzania.
No comments:
Post a Comment