INIESTA :HII NDIO FAINALI YA UEFA 2013
Mchezaji
wa Barcelona Andres Iniesta anasema timu yake leo inatakiwa iitumie
siku hii ya Jumanne kama ndo fainali katika Champion league ikiwa ni
mzunguko wa mwisho wa 16 wakiwa nyumbani wakiwakabili AC Milan.
Barcelona inatakiwa watengeneze kwa sababu walifungwa 2 – 0 “Itakuwa
ngumu lakini sio kwamba haiwezekani” “Tunatakiwa tucheze kama vile ni
fainali hivyo ndivyo invyotakiwa tuweke akili zetu kuanzia dakika ya
kwanza mpaka ya mwisho” Alisema Iniesta. Barcelona haijapoteza ikiwa
ndani ya Nou Camp toka Octoba 20, 2009, Timu hiyo kutoka Uispania
iliifunga AC Miln kwenye msimu wa mwisho robo fainali na mwaka 2005 – 6
kwenye nusu finali.
No comments:
Post a Comment