Advertise here

Saturday, January 26, 2013

OMMY DIMPOZ NA VANESSA MDEE KUANZA KUSHOOT ME & U

Ommy Dimpoz na Vanessa Mdee wakisindikizwa na AY, jana wamewasili salama jijini Nairobi Kenya ambako wameenda kushoot video ya Me and You.
 
Video hiyo inafanywa na kampuni ya Ogopa Dj’s ambayo hivi karibuni ilishoot video ya Diamond, Kesho. Me and You ni single ya tatu ya Ommy yenye mafanikio makubwa.

No comments: