Msanii wa hip hop one incredible ameaamua kuandika kupitia page yake ya facebook bei halali ya track zake anazaotoa
Alitiririka hivi hapa
"Hivii wote mnaotaka track mpya mmenunua album... kama bado, nitakuwa narelease kwa malipo... nicheki kupitia 0712 684 993... kila release inauzwa 2000....TIGO PESA."
Alitiririka hivi hapa
"Hivii wote mnaotaka track mpya mmenunua album... kama bado, nitakuwa narelease kwa malipo... nicheki kupitia 0712 684 993... kila release inauzwa 2000....TIGO PESA."
No comments:
Post a Comment