Jana kupitia vyombo mbalimbali vya habari ulimwenguni ilitoka taaraifa kuhusiana na Kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani Pope Bennedict kutangaza kujiuzuru nafasi hiyo kwa kile kilichotangwazwa kuwa umri wake kuwa mkubwa hivyo kushindwa kuhimiri kasi ya baadhi ya majukumu yake.
No comments:
Post a Comment