Uvumi umezidi kutanda kuhusu kutengana kwa wasanii
wanaoliwakilisha kundi maarufu la Camp Mulla la nchini Kenya na ukweli wa jambo
hilo limewekwa wazi na wasanii wenyewe.
Wasanii hao wa miondoko ya Hip Hop wameelezea kuwa
kutengana kwao haimaanishi ndio mwisho wao katika kufanya muziki, bali kila
mmoja ameona ni bora ajishughulishe na project zake binafsi.
No comments:
Post a Comment