Advertise here

Wednesday, January 30, 2013

CHRISS BROWN NDANI YA DRAMA NYINGINE

Siku nyingine tena, Drama nyingine tena, lakini sio msanii mwingine, msanii ni Yule Yule mkali ambae anadrama kibao, juzi wakaleteana noma na Frank Ocean. Sasa basi unakumbuka siku za nyuma Chriss Brown alidelete twitter account yake? na baada ya siku mbili au moja baadae akairudisha ilikuwa ni baada ya kujibishana sana na mtu kwenye twitter.  Drama za Chriss Brown muda mwingine huwa zinasababishwa na yeye mwenyewe au saa nyingine unakuta hausiki. Sasa basi Mshikaji Chriss Brown kufuatia drama yake na Frank Ocean juzi kati ameamua kufuta instagram yake na alikuwa akiandika meseji za drama ile mbaya na kutangaza kuondoka kwake yani kufuta instagram yake, Swali ni kwamba, Je Chriss Brown atarudi tena instagram kama alivyofanya kwenye twitter au ndo ntoleeeee? Turn Up Lol!

No comments: