WAKATI G.UNIT HAWANA MKWANJA MAMBO YALIKUWA AAH FRESH!!
Kwa
muda kumekuwa na stories kibao tofauti tofauti zisizo nzuri kuhusiana
na G.Unit Crew, 50 cent mwenyewe amekubali washkaji kweli hawaongei kama
vile kwa sasa. Akipiga stories na MTV Tony Yayo alizungumza juu ya
hilo. Alisema kipindi wakiwa na mkwanja mambo yalikuwa mabaya sana
mkwanja ndo chanzo cha ushetani wote, lakini kipindi tukiwa hatuna
mkwanja mambo yalikuwa fresh tu, Alisema hivyo akipiga stories na MTV.
No comments:
Post a Comment