Advertise here

Wednesday, January 30, 2013

WAKATI G.UNIT HAWANA MKWANJA MAMBO YALIKUWA AAH FRESH!!

Kwa muda kumekuwa na stories kibao tofauti tofauti zisizo nzuri kuhusiana na G.Unit Crew, 50 cent mwenyewe amekubali washkaji kweli hawaongei kama vile kwa sasa. Akipiga stories na MTV Tony Yayo alizungumza juu ya hilo. Alisema kipindi wakiwa na mkwanja mambo yalikuwa mabaya sana mkwanja ndo chanzo cha ushetani wote, lakini kipindi tukiwa hatuna mkwanja mambo yalikuwa fresh tu, Alisema hivyo akipiga stories na MTV.

No comments: