CCM YATANGAZA WAJUMBE WAJUMBE 14 WA KAMATI KUU YA CCM
Breaking
News: Halmashauri kuu ya CCM(NEC)imewachagua na kuwatangaza wajumbe 14
wa kamati kuu(CC),saba toka Bara na saba toka ZNZ.Baadhi yao ni Steven
Wassira,Dk.Anna Tibaijuka,Dk.Hussein Mwinyi na Dk.Salim Ahmed Salim.
No comments:
Post a Comment