"Sina
taarifa yoyote kuhusiana na kuanza kwa mitihani ya kidato cha sita,
kwasasa nipo kwenye kikao cha NEC, labda waulizeni waliopo DSM ofisini.
Alipoulizwa zaidi aliendelea kusema mimi sijui kuhsuiana na mitihani ya
kidato cha sita. Huyu ndie Naibu waziri wa elimu ndugu Mulugo."
Tuesday, February 12, 2013
WAZIRI WA ELIMU ATOA KAULI TATA KUHUSU MITIHANI YA KIDATO CHA SITA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment