Jeshi
la polisi kikosi cha zimamoto limepanga kufungua vituo saba katika
maeneo ya jiji la Dar es Salaam ili kukabiliana na tatizo la msongamano
ya magari linalosababisha kuchelewa katika matukio ya moto yanayoanza
kujitokeza kwa kasi kubwa hapa nchni.
No comments:
Post a Comment