Advertise here

Monday, February 04, 2013

LEO KATIKA ITV HABARI


  • Jeshi la polisi kikosi cha zimamoto limepanga kufungua vituo saba katika maeneo ya jiji la Dar es Salaam ili kukabiliana na tatizo la msongamano ya magari linalosababisha kuchelewa katika matukio ya moto yanayoanza kujitokeza kwa kasi kubwa hapa nchni.
    21 minutes ago
  • Kamati ya uchaguzi ya shirikisho la soka nchini TFF imemuondoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa chama hicho Michael Wambura aliyekuwa akiwania nafasi ya umakamu wa rais.
    23 minutes ago
  • Moto uliozuka katika maduka ya eneo la Mwenge kituo cha mabasi umedhibitiwa na vikosi vya zimamoto na sasa hali ni shwari ingawa shughuli nyingi za kibiashara bado zimesimama wahusika wakihofia usalama wa mali zao.

No comments: