Ikiwa
leo ni siku ya REDIO DUNIANI baadhi ya wasikilizaji wa chombo hicho
wameelezea mchango mkubwa unaotolewa na redio katika mambo mbali mbali
ya kijamii huku wengine wakishauri watayarishaji na watangazaji
kujitahidi kutunza maadili ya Kitanzania katika kutoa matangazo yao kwa
jamii.
Wakiongea katika sehemu tofauji jijini Dar wasikilizaji hao wamesema kuongezeka kwa vituo vya redio mijini na vijijini kumesaidia kuwaamsha watu wengi kimaendeleo na kuwaomba wamiliki wa vyombo hivyo kusogeza matangazo yao vijijini ili Watanzania walioko huko waweze kuendelea kupata matangazo hayo kutokana na watazamaji wa televisheni kuelekea kushindwa kufatilia matangazo hayo kwa kukosa fedha za kununulia vingamuzi na kutegemea redio
Wakiongea katika sehemu tofauji jijini Dar wasikilizaji hao wamesema kuongezeka kwa vituo vya redio mijini na vijijini kumesaidia kuwaamsha watu wengi kimaendeleo na kuwaomba wamiliki wa vyombo hivyo kusogeza matangazo yao vijijini ili Watanzania walioko huko waweze kuendelea kupata matangazo hayo kutokana na watazamaji wa televisheni kuelekea kushindwa kufatilia matangazo hayo kwa kukosa fedha za kununulia vingamuzi na kutegemea redio
No comments:
Post a Comment