Advertise here

Wednesday, February 06, 2013

STARS YAWAPIGISHA KWATA WACAMEROON UWANJA WA TAIFA



DDk 90 FULL TIME! Taifa Stars 1-0 Cameroon.

Timu ya Tanzania Taifa Stars  imefanikiwa kuwapa raha Watanzania baada ya kuwagalagaza Cameroon kwa goli moja sifuri.

 
Ni  Mbwana Samatta aliifungia Taifa Stars bao la kuongoza mnamo dakika ya 89 akiunganisha krosi ya Erasto Nyoni.

No comments: