Advertise here

Monday, February 04, 2013

XAVI HERNÁNDEZ NJE KWA SIKU 15

Baada ya kufanyiwa majaribio asubuhi ya leo Xavi Hernandez imegundulika kwamba atakuwa nje kwa takribani siku 15 na atakosa mechi mbili zijazo kati ya Getafe na Granada, Ingawa kupona kwake kunaenda kama ilivyopangwa, Xavi atarudi uwanjani wakati michezo ya Champion League wakicheza na Milan mechi itakayochezwa tarehe 20 mwezi 20. Xavi pia atakosa pia mechi kati ya kirafiki dhidi ya Uruguay Jumatano. Xavi amecheza mara 33 msimu huu na amefunga magoli 6, Xavi alicheza karibia mechi yote Jumapili pale Mestalla na alitoka na kubadilishana na Thiago katika muda wa nyongeza.

No comments: